1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uchaguzi mkuu una maana gani kwa Rwanda?

Khelef Mohammed Mohammed21 Julai 2017

Tarehe 4 Agosti, raia wa Rwanda watapiga kura kumchagua rais wa nchi. Katika kipindi cha Maoni, Mohammed Khelef na washiriki wanajadili: Nini nafasi halisi ya demokrasia kwenye taifa hili ambalo licha ya udogo wake na historia yake, bado limejijenga kuwa na ushawishi mkubwa kimataifa?

https://p.dw.com/p/2gxRZ