You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Picha: DW/G. Ketels
Mapambano dhidi ya mauaji ya Albino
Tunaangazia visa vya kuuliwa kwa albino na juhudi za kuwalinda
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Fahamu mradi wa wanawake wenye ulemavu wa ngozi Uganda
Fahamu mradi wa wanawake wenye ulemavu wa ngozi Uganda
Nchini Uganda, watu wenye ulemavu wa ngozi bado wanakabiliwa na dhulma nyingi dhidi yao licha ya harakati za wadau mbali mbali kutokomeza dhulma hizo. #Kurunzi
Tatizo la ulemavu wa ngozi kwa watoto Kigoma
Tatizo la ulemavu wa ngozi kwa watoto Kigoma
Katika makala ya Mbiu ya Mnyonge, safari hii tunaangazia tatizo la ulemavu wa ngozi kwa watoto na jinsi tatizo hilo huwasababishia masaibu mengine. Tunatua hali ilivyo eneo la Kigoma.
Changamoto za walemavu wa ngozi wakati wa COVID-19
Changamoto za walemavu wa ngozi wakati wa COVID-19
Kuishi na ulemavu wa ngozi ni changamoto katika mataifa mengi ya Afrika. Katika kipindi hiki cha janga la COVID-19, ni changamoto gani zaidi wanazokabiliana nazo?
Watoto, wanawake na albino wanaathirika zaidi Tanzania
Watoto, wanawake na albino wanaathirika zaidi Tanzania
Haki za watoto, wanawake na albino bado zinakiukwa zaidi Tanzania, kulingana na ripoti mpya.
Kamanda Simon Sirro pia amewaonya wanaofanya ukatili
Kamanda Simon Sirro pia amewaonya wanaofanya ukatili
Kamanda Sirro alikuwa ziarani Shinyanga na Simiyu ambako watoto wawili na mwanamke mmoja waliuawa na viungo kunyofolewa.
Ni nani Bwana na Bibi Albino Afrika Mashariki?
Ni nani Bwana na Bibi Albino Afrika Mashariki?
Tazama jinsi tamasha la kumchagua Bwana na Bibi Albino Afrika Masharik lilivyokuwa jijini Nairobi mwishoni mwa wiki ambapo liliwahusisha washiriki kutoka Tanzania na pia Uganda.
Onesha zaidi
Matangazo