You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Allied Democratic Forces
Ruka sehemu inayofuata Habari
Habari
07.05.2024
7 Mei 2024
Makundi haramu yenye silaha Colombia yalijiimarisha 2023
07.05.2024
7 Mei 2024
Kundi la waasi Colombia latangaza kuanza tena utekaji nyara
06.05.2024
6 Mei 2024
Uganda kurejesha nyumbani mabaki ya mashahidi wawili
06.05.2024
6 Mei 2024
Mabaki ya ´mashahidi wa Uganda´ kurejeshwa Septemba
04.05.2024
4 Mei 2024
Bomu laua watu 12 wakiwemo watoto nchini Kongo
25.04.2024
25 Aprili 2024
Mahakama Uganda yafuta hukumu ya miaka 20 kwa Wakenya 32
Onesha zaidi
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Rais Museveni wa Uganda akutana na wafanyabiashara Kampala
Rais Museveni wa Uganda akutana na wafanyabiashara Kampala
Walichokipata pekee ni kuondolewa faini walizowekewa wale waliokuwa wamefunguliwa mashtaka ya kukataa kulipa kodi.
Marekani: Rwanda iviadhibu vikosi kwa shambulizi la Goma
Marekani: Rwanda iviadhibu vikosi kwa shambulizi la Goma
Marekani bado inashikilia madai kwamba serikali ya mjini Kigali inaingilia masuala ya ndani ya majirani zake.
Vikosi vya SADC vyafanya msako dhidi ya M23
Vikosi vya SADC vyafanya msako dhidi ya M23
Vikosi vya SADC na Majeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vyafanya msako dhidi ya waasi wa M23 na washirika wao.
Polisi waliochukua nafasi ya Monusco wakabiliwa na ugumu
Polisi waliochukua nafasi ya Monusco wakabiliwa na ugumu
Polisi waliochukua nafasi ya Monusco Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakabiliwa na hali ngumu ikiwemo kukosa chakula.
Waasi wa Kihouthi wajizolea umaarufu
Waasi wa Kihouthi wajizolea umaarufu
Waasi wa Houthi wanatumia mashambulizi ya Bahari Nyekundu ili kuongeza hadhi
Kongo: MONUSCO yasitisha oparesheni zake jimbo la Kivu
Kongo: MONUSCO yasitisha oparesheni zake jimbo la Kivu
MONUSCO imesitisha operesheni zake za kulinda raia katika jimbo la Kivu kusini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Onesha zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Yenye kuangaziwa
Yenye kuangaziwa
Mbinu zinazotumiwa kutokomeza Malaria Uganda
Miongoni mwa mbinu zinazotumiwa na Uganda ni mpango wa kunyunyiza viwatilifu vya kuangamiza mbu wanaoeneza Malaria.
Paul Kagame: Shujaa au Dikteta?
Kagame humwagiwa sifa kama mwokozi aliyemaliza mauaji ya kimbari lakini wengine wanamchukulia kama kiongozi katili.
Afrika Mashariki inaweza kuwa na viwango sawa vya kodi?
Bunge la EALA limepitisha muswada wa kusawazisha sheria za kodi na ushuru lakini kuna mashaka ikiwa utaridhiwa.
Uganda yapinga kuondolewa AGOA
Hii ina maana kuwa Uganda imepoteza soko la bidhaa zake mbalimbali ikiwemo zile za vitu vya sanaa, viungo na ngozi.
Abiria wahangaishwa katika uwanja wa ndege Uganda
Wadadisi wanasema uamuzi huenda ukawa umechukuliwa kufuatia vilio vya wasafiri wanaodai kunyanyaswa katika úwanja huo.
Uganda yakabiliwa na wimbi kubwa la wakimbizi wa Congo
Wakimbizi hao wametembea kwa miguu na kukabiliana na hali ngumu ya mvua na mafuriko ambayo yanalikumba eneo hilo