You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Hawa Bihoga
Ruka sehemu inayofuata Taarifa zilizoonesha na Hawa Bihoga
Taarifa zilizoonesha na Hawa Bihoga
Namibia baada ya kifo cha Rais Geingob
Namibia imeanza awamu mpya ya uongozi baada ya kifo cha aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Hage Geingob. Upi mwelekeo wake?
Kenya: Kukamua sumu ya nyoka kunaokoa maisha
Wenyeji katika kijiji cha Gede kwap kukamua nyoka, mila muhimu kwa ajili ya kuzalisha kinga ya sumu.
Utafiti: Hotuba hasi za kisiasa zaongezeka Marekani
Utafiti unaonesha tangu Trump alipozindua kampeni zake za urais matamshi hasi ya kisiasa yaliongezeka Marekani.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa na Hawa Bihoga
Taarifa na Hawa Bihoga
Tanzania yaadhimisha miaka 60 ya Muungano
Tanzania yaadhimisha miaka 60 ya Muungano
Mnamo Aprili 26, 1964 nchi mbili za Afrika, Tanganyika na Zanziba ziliungana na kuunda Tanzania. Licha ya baadhi ya changamoto za awali, muungano bado upo imara. Katika kuadhimisha miaka 60, huu hapa ni muhtasari wa jinsi walivyoanza na namna wanavyoendelea.
Dina Ekanga anatumia misumari kusimulia hadithi za kiafrika.
Dina Ekanga anatumia misumari kusimulia hadithi za kiafrika.
Misumari na nyundo kwa Dina zimekuwa nyenzo muhimu katika kusimulia hadithi zilizojaa changamoto, uzuri na upekee wa bara la Afrika, hasa taifa la Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo ambako anatokea. Sanaa ya kipekee inayosimulia hadithi kwa namna ya kipekee.
Athari za mabadiliko ya hali ya hewa Afrika
Athari za mabadiliko ya hali ya hewa Afrika
Kuanzia kaskazini hadi kusini, nchi nyingi barani Afrika zimeathiriwa na athari za mabadiliko ya hali ya hewa. Ukame uliokithiri, mafuriko na hali ya kuongezeka kwa joto. Malawi, Kenya na Mali pia hivi karibuni zimekabiliwa na majanga yanayohusiana na hali ya hewa.
Israel yasema imeruhusu msaada zaidi kuingia Gaza
Israel yasema imeruhusu msaada zaidi kuingia Gaza
Israel imearifu kuongeza juhudi za kuingiza misaada ya kiutu kwa wakaazi wa Gaza.
Zelensky atembelea maeneo ya mapigano makali Ukraine
Zelensky atembelea maeneo ya mapigano makali Ukraine
Zelensky atembelea maeneo yenye kukabiliwa na mapigano makali Ukraine wakati jeshi lake likikabiliwa na uhaba wa silaha.
Marekani yatakiwa kusitisha shughuli za kijeshi nchini Chad
Marekani yatakiwa kusitisha shughuli za kijeshi nchini Chad
Jeshi la anga la Chad limeiamuru Marekani kusitisha shughuli zake katika kituo cha anga cha Adji Kossei.
Onesha taarifa zaidi
Nenda ukurasa wa mwanzo